kabesejr blog

kabesejr

albino

Saturday, May 23

Adebayor apewa mda wa kusuluhisha mgogoro

Mchezajii wa kilabu ya Tottenham Emmanuel Adebayor amepewa mapumziko kwa mara ya pili msimu huu lakini hatma yake katika kilabu ya Spurs haijulikani.
Mchezaji huyo wa taifa la Togo mwenye umri wa miaka 31 ameandika kuhusu matatizo ya famili yake katika mtandao wa facebook na kusema kuwa alikuwa ameamua kujiuua.
Atakosa mechi ya siku ya jumapili kati ya kilabu yake na Everton mbali na ziara ya Kuala Lumpur na baadaye nchini Sidney.
''Tumempa mda wa kusuluhisha mzozo na familia yake'',alisema kocha wa kilabu hiyo Mauricio Pochettino.Ni miasha yakje ya kibinafsi .Niliongea naye mapema wiki hii,ni hali ngumu kwake''.
Adebayor alijiunga na klabu ya Spurs mwaka 2011 kutoka Manchester City kupitia mkopo kabla ya mabao 18 aliyofunga akiwa na Hotspurs kumwezesha kupewa kandarasi ya kudumu.

Ndoa za jinsia moja zaungwa mkono


Couple watches counting of same-sex marriage referendum votes 
Ishara za mapema kutoka kwa kura ya maoni kuhusu uhalalishaji wa ndoa za jinsia moja nchini Ireland zinaonyesha kuwa wanaounga mkono ndoa hizo wanaelekea kupata ushindi mkubwa.
Kura zinaendelea kuhesabiwa na matokeo rasmi yanatarijiwa kutangazwa baadaye leo.
Lakini mawaziri wa serikali ambao wanaunga mkono mabadiliko hayo ya kikatiba,wameielezea siku ya leo kama ya kihistoria huku wengi waliopinga kura hiyo wakiwapongeza waliounga mkono sheria hiyo ya ndoa za jinsia moja.
Iwapo mabadiliko hayo yataidhinishwa,Ireland itakuwa nchi ya kwanza kuruhusu ndoa za jinsia moja kupitia wingi wa kura.

Ishara za mapema kutoka kwa kura ya maoni kuhusu uhalalishaji wa ndoa za jinsia moja nchini Ireland zinaonyesha kuwa wanaounga mkono ndoa hizo wanaelekea kupata ushindi mkubwa.
Kura zinaendelea kuhesabiwa na matokeo rasmi yanatarijiwa kutangazwa baadaye leo.
Lakini mawaziri wa serikali ambao wanaunga mkono mabadiliko hayo ya kikatiba,wameielezea siku ya leo kama ya kihistoria huku wengi waliopinga kura hiyo wakiwapongeza waliounga mkono sheria hiyo ya ndoa za jinsia moja.
Iwapo mabadiliko hayo yataidhinishwa,Ireland itakuwa nchi ya kwanza kuruhusu ndoa za jinsia moja kupitia wingi wa kura.

Ishara za mapema kutoka kwa kura ya maoni kuhusu uhalalishaji wa ndoa za jinsia moja nchini Ireland zinaonyesha kuwa wanaounga mkono ndoa hizo wanaelekea kupata ushindi mkubwa.
Kura zinaendelea kuhesabiwa na matokeo rasmi yanatarijiwa kutangazwa baadaye leo.
Lakini mawaziri wa serikali ambao wanaunga mkono mabadiliko hayo ya kikatiba,wameielezea siku ya leo kama ya kihistoria huku wengi waliopinga kura hiyo wakiwapongeza waliounga mkono sheria hiyo ya ndoa za jinsia moja.
Iwapo mabadiliko hayo yataidhinishwa,Ireland itakuwa nchi ya kwanza kuruhusu ndoa za jinsia moja kupitia wingi wa kura.

MWALIMU NA WENZAKE WATANO WALIOKAMATWA NA MIFUPA YA ALBINO


Bilia Masanja Mhalala.
Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru wilayani Kahama, Bahati Kilungu Maziku.
Abubakar Ally Magazi.
Elizabeth au Shija Makandi Sweya na Regina au Tatu Kashinje Nhende.
Muhoja John Shija.

Military Hero Faces Court-Martial For Praising JESUS!


Should we be Court-Martialed for loving God?


Major General Craig S. Olson stood up and spoke about what he believes. And he is now facing criminal charges and could possibly be COURT-MARTIALED for stating the name of Jesus in public. WHAT?? This man, who has served to protect our country since 1982, boldly declared God helped him in every area of his life and this is how we respond? This is an OUTRAGE!!


Before we go any further...did I mention this all took place at the "National Day of Prayer Task Force?"



There is a group, who call themselves Americans, who want to charge this 2 Star Major General for mentioning God in his speech at the National Day of Prayer on May 7, 2015.



They declare that it didn't matter that it was a religious event, that his actions were inexcusable. And that he should be "aggressively and very visibly brought to justice for his unforgivable crimes and transgressions,” as well as any other service members who helped him should be punished “to the full extent of military law.”

Saturday, May 16

AMISOM YAFELISHA SHAMBULIO LA AL-SHABAB, SOMALIA



Askari wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia, AMISOM.
Askari wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia, AMISOM wametangaza kuwa, wamefanikiwa kufelisha shambulizi la kigaidi la wanamgambo wa al-Shabab nchini humo.

Askali hao wakiwa kwenye oparesheni hiyo.
Taarifa iliyotangazwa na Sam Kavuma, mmoja makamanda wa askari hao, imesema kuwa wanamgambpo wa al -Shabab walijaribu kudhibiti kambi za kijeshi za serikali katika eneo la Shabili Sufla la kusini mwa Somalia, lakini askari wa Amisom wamezima shambulio hilo.
Kavuma ameisifu operesheni hiyo aliyoitaja kuwa iliyofanikiwa na kuongeza kuwa, kundi la al -Shabab limefeli vibaya katika jaribio hilo na kwamba wamekimbia baada ya vikosi hivyo kuwasili eneo la tukio. Kamanda huyo wa AMISOM ameongeza kuwa kundi la al -Shabab linapanga mashambulizi ya kudhibiti kambi za kijeshi ili kurejesha nguvu yao iliyodhoofika sana.
Hayo yanajiri katika hali ambayo duru za habari zimeripoti kwamba kundi hilo la kigaidi lilikuwa limedhibiti baadhi ya maeneo ya kusini mwa Somalia.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...