Baada ya mwanamuziki chalz baba kuhama kutoka Bend ya Twanga pepeta sasa n rahisi wa bendi yake ya mashujaa.Uchuo uiofanyika tarehe 27 na kumtangaza kwa kshindo kikubwa.
kabesejr blog
kabesejr
albino
Wednesday, March 28
CHALZ BABA RAIS WA MASHUJAA BAND
Baada ya mwanamuziki chalz baba kuhama kutoka Bend ya Twanga pepeta sasa n rahisi wa bendi yake ya mashujaa.Uchuo uiofanyika tarehe 27 na kumtangaza kwa kshindo kikubwa.
Tuesday, March 27
BIF KATI YA NIKKI MBISHI NA WEUSI

Nikki

Weusi
Baada
ya Nikki Mbishi kutangaza rasmi kujitoa Lunduno, sasa asanuka na bifu
la yeye na Weusi. Nicki Mbishi aliyefanya mahojihano na moja ya redio
maarufu hapa bongo amesema, ameshangaa sana kuona Bonta kutangaza bifu
nayeye. Kisa cha bifu hilo inasemekana kuwa wanagombania jina la
CONSCIOUS ambalo linatumiwa na wasanii hao. Kwa mujibu wa Bonta anasema
yeye ndio mwanzilishi wa jina hilo hivyo basi Nicki Mbishi anakopi jina
hilo na kulitumia yeye. Mbali na malalamiko hayo yanayohusu jina la
CONSCIOUS, Nicki Mbishi pia amelalamikiwa kuwapiga madongo wakali hao
kutoka kundi la Weusi mfano, kuna mstari unasema: “iweje Nicki wa pili
wakwanza hajulikani” hii inaweka wazi kuwa jamaa amediss Nicki wa pili
kujiita hivyo.
Nicki Mbishi amesema “Kwakuwa wameamua kutangaza bifu basi acha liwe bifu kati yangu na hao wanao jiita weusi au waanzilishi wa Hip Hop Tanzania, kwanza hata KalaPina alisema kwenye tamasha la Dar Live kuwa Hip Hipo imeanzia Dar sio A-Town kama wasemavyo wao”.
Bonta amesema “kwakuwa kila mtu anauhuru wa kufanya au kuongea katika hii nchi basi acha awehuru, me sishangai anayosema yeye kwakuwa yuko huru kisheria hivyo muacheni aamue kujiita au kufanya analotaka, ila nachoona anataka kutafuta jina kupitia weusi”.
Kwa mujibu wa weusi na wakali wengine kutoka Lunduno wanasema Nicki Mbishi anaamua kujitafutia jina kwa kuwa anaona ameshapotea kwenye game la Hip Hop ndio maana anajaribu kukopi majina ya watu na kujipa yeye.
Nicki Mbishi amesema “Kwakuwa wameamua kutangaza bifu basi acha liwe bifu kati yangu na hao wanao jiita weusi au waanzilishi wa Hip Hop Tanzania, kwanza hata KalaPina alisema kwenye tamasha la Dar Live kuwa Hip Hipo imeanzia Dar sio A-Town kama wasemavyo wao”.
Bonta amesema “kwakuwa kila mtu anauhuru wa kufanya au kuongea katika hii nchi basi acha awehuru, me sishangai anayosema yeye kwakuwa yuko huru kisheria hivyo muacheni aamue kujiita au kufanya analotaka, ila nachoona anataka kutafuta jina kupitia weusi”.
Kwa mujibu wa weusi na wakali wengine kutoka Lunduno wanasema Nicki Mbishi anaamua kujitafutia jina kwa kuwa anaona ameshapotea kwenye game la Hip Hop ndio maana anajaribu kukopi majina ya watu na kujipa yeye.
Thursday, March 22
KWA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE NA QT 2012
TANGAZO
Katibu Mtendaji, Baraza la Mitihani la Tanzania anapenda kuwatangazia Watahiniwa wote wa Kujitegemea wanaotarajia kufanya Mtihani wa Maarifa (QT) na Kidato cha Nne (CSEE) mwezi wa Oktoba, 2012 kwamba mwisho wa usajili kwa ada ya kawaida bila faini umesogezwa mbele mpaka 04/03/2012.
Watahiniwa watakaojisajili kuanzia tarehe 05/03/2012 hadi 31/03/2012 watatakiwa kulipa ada ya kawaida pamoja na faini mpaka usajili utakapofungwa rasmi tarehe 31/03/2012.
Baraza la Mitihani linasisitiza kuwa hakuna Mtahiniwa atakayesajiliwa baada ya tarehe 31/03/2012. Watahiniwa ambao bado hawajajisajili hadi sasa wanashauriwa kujisajili kabla ya tarehe 05/03/2012 ili kuepuka kulipa ada na faini kwa ajili ya kuchelewa kujisajili.
LIMETOLEWA NA:
KATIBU MTENDAJI
BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
Subscribe to:
Posts (Atom)