
KUFUATIA mafanikio alinayoyapata hivi sasa kwenye anga ya muziki wa kizazi kipya Bongo, staa wa muziki huo Naseeb Abdul ‘Diamond’ ndiye mkali aneingiza mkwanja mrefu zaidi kuliko nyota wote wanaotamba hivi sasa hapa nchini.
Uchunguzi uliofanywa na Teentz.com umebaini kuwa Diamond anaingiza kiasi cha shilingi za kibongo Milioni 16 kwa kila shoo mbili anazofanya akiwa ndani na nje ya jiji la Bongo.
No comments:
Post a Comment