Hapa ilikua ni muda mfupi kabla ya kukimbizwa hospitali kabla hajafariki.
Simon Musika ana umri wa miaka 30 na alicheza kwenye hiyo mechi ya timu za mitaani kwa dakika 15 kabla ya kuzimia na kufariki dunia ambapo baada ya taarifa za kifo chake ilibidi mechi isimamishwe.
Ndugu wa marehemu walikusanyika kwenye uwanja wa mpira muda mfupi tu baada ya kifo cha mchezaji huyo.
No comments:
Post a Comment